KUKAMATWA KWA JACKY CLIFF MACAO/CHINA NA SEMBE

Mwanadada Jackie Cliff mwenye umri wa miaka 28 akiwa chini ya ulinzi huko China baada ya kukamatwa na kilo na kilo 1.1 za madawa ya kulevya aina ya Heroin huko Macao.



Waandishi wa habari wa Chinawakipiga picha vidonge vya heroin alivyokamatwa navyo Jackie
Polisi wakivikagua vidonge hivyo.















0 comments: