BREAKING NEEEEWS..!! BASI LA WIBONELA LAPINDUKA WILAYANI KAHAMA ASUBUH HII NA KUUA.




Huzuni na majonzi imetanda leo katika mji wa kahama baada ya basi la Wibonela Express linalofanya safari zake  Kahama -Dar kupinduka baada ya kutoka stand kuu ya kahama km chache toka stand katika eneo la Phantom  na kuua watu wanne.

Kwa taarifa za awali chanzo chz ajali hiyo ni mwendo kasi na Taarifa Rasmi na picha zaidi zitawajia hapo baadae.
 
  Endelea kufuatilia taarifa kupitia blog hii.
 













0 comments: