MWANAMZIKI AMIGOLAS AZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KISUTU DAR
Mwili wa marehemu, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ ukiwasili nyumbani kwao Mburahati leo jijini Dar es Salam.
Mwili wa marehemu, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ ukibebwa na waombolezaji kuelekea katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Msanii wa Filamu nchini, Jacob Steven 'JB' (wa pili kutoka kulia) akielekea makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Viongozi
wa dini ya Kiisilam wakiomba dua mara baada ya kuzika marehemu Khamis
Kayumbu ‘Amigolas’ kwenye makaburi ya Kisutu Jijini Dar jioni hii.
MAZIKO ya mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya African
Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’
aliyefariki juzi amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es
Salaam na kuhudhuria na mamia ya watu.
0 comments: