Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu
kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa
akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo
Kisanji (TEKU), Daniel Mwakyusa baada ya kumpiga kwa kutumia silaha
inayodhaniwa kuwa ni bunduki.
via>>> EATV
0 comments: