Mtuhumiwa wa mauaji ya padri mushi aachiwa kwa dhamana na mahakama ya Zanzibar.

Mahakama Kuu Zanzibar imemuachia kwa dhamana Omar Mussa Makame
mwenye mtoto anayetuhumiwa kumuua Padri Evaristi Mushi baada ya
kudhaminiwa na wadhamini wawili kwa dhamana ya shilingi laki 5 kila
mmoja
Credit-Gumzo la Jiji.
0 comments: