UKATILI..!! MWANAMKE AUAWA KWA KUCHINJWA HUKO ROMBO MKOANI KILIMANJARO

Imeripotiwa kuwa mwanamke ajulikanaye kwa jina la Grace Pius ameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana.
Kwa
mujibu wa shuhuda wetu aliyekuwepo eneo la tukio amesema baada ya
kuzagaa tarifa hizo polisi walifika eneo la tukio kwa ajili ya upelelezi
ikiwemo kuwasaka watuhumiwa wa mauaji hao.
Hadi sasa haijajulikana mara moja ni nini kimesababisha mwanamke huyo kuuawa kinyama namna hiyo.
Hizi
ni baadhi ya picha zikionesha nguo alizokuwa amezivaa marehemu kabla ya
mauti kumfika huku zikiwa zina matone ya damu na alama za visu.
Habari/Picha kwa mujibu wa mdau wetu kupitia whatsapp namba yetu +255 713 836 935



0 comments: