BREEKING NYUZZZZZZ..!! MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqTVXlZF1Pg58DwpYNh4dqlDoAxkoDBoQvxVea60XuQAm0A-QPj3QiD61G3DeKhBkPw0U6WvQQkYoOqZZLRwa54IQZH9ZO_z_kbHfGMdjyW7GO0PXgiWNOEHg-r5JmbSH_0QbPdhCdkV8/s1600/Mama+Zitto+Clip.jpgNi taarifa nilizopata asubuhi ya June 1 2014 kuhusu kifo cha mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe aitwae Bi Shida ambapo aliethibitisha kifo hicho ni Zitto Kabwe mwenyewe.
Screen Shot 2014-06-01 at 12.21.29 PM
Hii ni May 25 2014 wakati Rais Kikwete alipomtembelea mama Zitto ICU kwenye hospitali ya AMI Dar es salaam. (picha ilipigwa na Freddy Maro)

0 comments: