MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 10 YA CHUO CHA JKT MAPINGA
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi
Jenerali Davis Mwamunyange akikata utepe kuashiria uzinduzi rasimi wa
uwanja uliopewa jina la Jenerali Davisi Mwamunyange ambao utatumika
kwa shughuli mabalimbali ikiwemo gwaride kulia ni Mkuu wa JKT Meja
Jenerali Raphael Muhuga na kushoto ni Mkuu wa chuo cha JKT Mapinga Meja
Aristides Rutta sherehe hizo ziliambatana na kutimiza miaka kumi ya
kuanzishwa kwa chuo cha JKT Mapinga kilichopo jijini Dar es salaam
Mkuu
wa majeshi ya ulinzi Jenerali Devisi Mwamunyange akikagua gwaride
lililoandaliwa wakati wa sherehe za kutimiza miaka kumi ya kuanzishwa
chuo cha jkt Mapinga kilichopo jijini Dar es salaam
Mkuu
wa majeshi ya ulinzi Jenerali Devisi Mwamunyange akiangalia bwawa la
kufugia samaki ambalo limejengwa na chuo cha jkt mapinga jenerali
Mwamunyange alikuwa mgeni rasimi katika kuadhimisha miaka kumi ya
kuanzishwa kwa chuo cha jkt mapinga
Jengo la utawala la chuo cha JKT Mapinga kilichopo jijini Dar es salaam
Mkuu
wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiongea wakati wa
uzinduzi rasimi wa uwanja uliopewa jina la Jenerali Davis Mwamunyange
ambao utatumika kwa shughuli mabalimbali ikiwemo gwaride.

0 comments: