MWIMBAJI MWINGINE WA MUZIKI WA INJILI NCHINI AFARIKI DUNIA
Zikiwa ni takribani wiki tatu tangu tasnia ya muziki wa injili nchini
kumpoteza mmoja wa waimbaji wake marehemu mchungaji Debora Saidi,
taarifa ambazo GK imezipata ni kwamba mwimbaji mwingine wa muziki wa
injili Orida Njole amefariki dunia mchana wa leo katika hospitali ya
Temeke jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
0 comments: