Noma sana..!!HII NDIO OFISI MPYA YA REDIO KAHAMA FM...!!
Source-Dunia Kiganjani
Studio hizi zinahamiwa rasmi tarehe 30/12/2013 siku ya Jumatatu na ndio ofisi mpya za redio kahama FM, uzinduzi rasmi utawajia.
 |
| Muonekano wa jengo letu kwa mbele |
Studio
za redio kahama FM sasa zitakuwa Mtaa wa Nyahanga mjini Kahama na
ukitaka kufika pita barabara ya polisi kwenda juu Nyahanga zipo mkono wa
Kushoto.
 |
| Muonekano wa jengo letu kwa nyuma |
 |
| Muonekano kwa pembeni kidogo |
 |
| Kila kitu kimekamilika, jumamosi na jumapili ni siku za usafi wa mazingira tu | | | | |
0 comments: