WAZEE WA KIJIJI(WANANZENGO) WAGOMEA KUZIKA MAITI ..HUKO KAHAMA SHINYANGA
marehemu .Bakar omar(papa mukulu)
Katika hali isiyo ya kawaida
wazee wa kitongoji cha malunga kata ya malunga wilayani kahama mkoani
shinyanga, leo wamegoma kuzika mwili wa Bakari Omari-(Papa Mukulu) (40) mkazi
wa eneo hilo aliyefariki usiku wa kuamkia leo.
Sakata hilo limetokea kufuatia uamzi wa wazee hao kuwazuia vijana wa eneo hilo pamoja na marafiki zake kumzika Omari wakidai faini kwakuwa alikuwa haudhurii misiba hali iliyosababisha vyombo vya usalama kuingilia kati. |
| wananzengo wakiandaa kaburi kwa ajili ya mazishi |
| safari ya kuelekea |
| wakina mama wakiwa msibani hapo.
chanzo-Bongo na matukio blog.
|
0 comments: