TAZAMA MTOTO HUYU ANAVYOTESEKA NA KANSA YA JICHO.
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Kahama Benson Mpesya akifungua kampeni hizo juzi katika uwanja wa Halmashauri ya Mji Wilayani hapo |
Pia amewataka wanawake wa Wilaya ya Kahama kuwahi mapema katika vituo vya afya mara wanapoona dalili za awali za kansa,Kwa sababu tatizo hili limeonekana kuwa ni chanzo cha vifo vingi kwa kina mama nchini.
Katika kampeni hizo Wanawake 201 walijitokeza kupima saratani ya Shingo ya kizazi kwa siku mbili tarehe 28 na 29 machi 2014. taklibani wanawake 17 wamekutwa na dalili za awali za Saratani ambayo ni sawa na 8.5%,.
![]() | |||||||
| Mkurugenzi wa Shirika la HUHESO FOUNDATION Juma Mwesigwa ambaye ameshirikiana na wataalamu wa Hospital ya Wilaya ya Kahama kutoa huduma hiyo ya Upimaji. |




0 comments: