TAZAMA PICHA-WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA SHINYANGA NA ILE YA WILAYA YA KISHAPU
| Mkuu wa wilaya ya Kishapu Wilson Nkhambaku akimpatia waziri wa afya na ustawi wa jamii Dkt Seif Rashidi taarifa ya afya kuhusiana na changamto walizonazo katika wilaya hiyo. |
| Hili ni jengo la wagonjwa wa nje (OPD) ambalo limejengwa kwa gharama ya shilingi millioni 291 mpaka hapo lilipofikia. |
0 comments: