MKUU WA WILAYA YA KAHAMA ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMSAKA MTENDEJI ALIYEMTOROSHA MKULIMA WA BANGI..!!
| Mkuu wa wilaya ya Kahama Benson Mpesya (kulia) akitoa agizo hilo kwa mkuu wa kituo cha polisi Kahama Elias Haway na mkuu wa Upelelezi Wilaya Twaha Juma. |
Mkuu
wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, ameliagiza jeshi
la polisi wilayani humo kumtafuta na kumkamata Afisa Mtendaji wa Kata ya
Mega, Peter Kupingwa, kwa tuhuma za kuhusika katika kumtorosha mkulima
wa Bangi.
0 comments: